Tuesday, August 16, 2022

Jetu

 Alkaline

Labels:

Hello

 New templates

Sunday, July 10, 2022

Usajili wa wachezaji soka Ulaya

Hapa utaona dondoo za usajili kutoka  maeneo mbalimbali Ulaya.


Arsenal inachuana na Manchester United katika harakati za kumsajili kiungo wa Chelsea na Ufaransa N'Golo Kante (31).



Kiungo wa Barcelona na Hispania Sergio Busquets (33) anasakwa na vilabu kadhaa vya ligi ya Marekani MLS ili kujiunga navyo msimu ujao.


Chelsea inataka £7m kutoka kwa Barcelona kwa ajili ya mlinzi wake mhispania Cesar Azpilicueta (32)  ambaye ameshakubaliana  kuhusu maslahi binafsi na klabu hiyo ya Catalan.


Arsenal na Newcastle zinamtaka kiungo mshambuliaji wa Lyon na Brazil Lucas Paqueta lakini ada ya 65m euros inayotakiwa na wafaransa hao kwa ajili ya nyota huyo mwenye miaka (24).

Arsenal iko kwenye mazungumzo na Benfica baada ya kupeleka ofa ya £6.4m kwa ajili ya kumsajili beki wa kushoto mhispania Alex Grimaldo (26).



Chelsea wanajiandaa kukubaliana na ada wanayotaka Napoli ya £34m kwa ajili ya mlinzi wake wa kati raia wa Senegal Kalidou Koulibaly (31).


Bayern Munich inamsaka mshambuliaji wa Tottenham na England Harry Kane (28) kama mbadala wa Robert Lewandowski (33) kutoka Poland anayetaka kuachana na mabingwa hao wa Bundesliga msimu huu.


Chelsea na Paris St-Germain nazo zitaingia kwenye mbio za kutaka saini ya  Lewandowski kama itashindikana kujiunga na Barcelona.


Barcelona wanaamini watamsajili kiungo mreno Bernardo Silva (27) kutoka Manchester City.


Labels:

Akpan asajiliwa Simba Sc

Kiungo wa katikati ya dimba mwenye uwezo mkubwa wa kuhimili mechi za aina zote. 

Victor Akpan ni 𝗠𝗡𝗬𝗔𝗠𝗔 🦁 #Akpan #NguvuMoja

Labels:

Dispatch clerk II Simba Cement Plc New Vacancy

Simba Cement PLC (the Tanga Cement Company Limited) has the capacity to produce more than 1.25 million tonnes of Simba cement and more than 1.25 million tonnes of clinker. 

The primary raw material, limestone, is located at the plant site. The Company completed second largest expansion project by installing kiln number two. The first expansion project by the company involved installation of cement mill number two and packer III. Tanga Cement Company’s manufacturing facilities are ISO 9001: certified. Simba cement products are produced in accordance with Tanzania Cement Standard TZS 721-1: which is equivalent to East African standard for cement EAS 18-1: and European Standard for cement EN 197-1. Tanga Cement PLC is located about 15 kilometre from Tanga city centre. The company is incorporated in Tanzania under the Tanzanian companies Act 2002 as a public company limited by shares. Our Vision. To be the East Africa’s preferred cement manufacturer and distributor. Our Mission. To develop, produce and distribute consistently high quality cement and related products and services in a sustainable manner to satisfy our customers’ expectations.


The company is looking to hire individuals to fill a new vacant position.  Read full details from the PDF Document below.


CLICK HERE


Labels:

Saturday, July 9, 2022

Kyombo rasmi atua Simba

 HATIMAYE, Simba imepata saini ya aliyekuwa mshambuliaji wa Mbeya Kwanza, Habib Kyombo kwa mkataba wa miaka miwili baada ya kutokea sintofahamu hapo awali.

Awali nyota huyo alidaiwa kusaini timu mbili tofauti akianza na wageni wa Ligi Kuu Bara Singida Big Stars kisha kuvunja mkataba kwa makubaliano ya pande mbili baada ya kukubali dili jipya la kujiunga na Simba.


Wakati akiitumikia Mbeya Kwanza katika msimu ulioisha Juni 29, mwaka huu staa huyo alifunga mabao sita ya Ligi Kuu Bara katika mechi 15 alizocheza na kikosi hicho ambacho  kimeshuka daraja baada ya matokeo mabovu.


Huu ni usajili wa kwanza Simba kwa wachezaji wazawa msimu huu baada ya ule wa Moses Phiri raia wa Zambia aliyejiunga na miamba hiyo Juni 15 akitokea klabu ya Zanaco ya huko nchini kwao Zambia.


Mbali na Usajili huo kuna nyota wengine wanaosadikika wamejiunga na miamba hiyo ni Victor Akpan kutoka Coastal Union, Cesar Manzoki (Vipers FC), Nelson Okwa (Rivers United) na Augustine Okrah aliyetokea Asante Kotoko.


Labels:

Friday, July 8, 2022

Jack Wilshere ametangaza hivi leo kustaafu kucheza soka la kulipwa

Amestaafu kucheza soka la kulipwa akiwa na umri wa miaka 30.



Katika ukurasa wake wa twitter ameandika haya,



#soma zaidi HAPA


Labels: