Wednesday, February 28, 2018

Mtani Be Spoke-Mens Suits Designer


Grey tuxedo.

from our #bespoke #luxury line.
We warmly invite you to discover the world of Bespoke, an exclusive service dedicated to creating your personalized wardrobe. We will provide you with exactly what u prefer with the assist on whats best for you.

Labels:

Oliver Mtukudzi mwanamuziki mkongwe Afrika


Oliver Mtukudzi ni mwanamuziki mkongwe, anayevuma sana hata nje ya mipaka ya nchi yake
ya Zimbabwe.

Tokeo la picha la Oliver Mtukudzi

Nyimbo zake zinazohamasisha amani na kutoa burudani barani Afrika, zimesababisha yeye
kutumika kama alama katika taifa hilo hususan kwa upande wa sanaa ya nchini mwake.

Wasifu wa Oliver ‘Tuku’ Mtukudzi unaeleza kuwa alizaliwa Septemba 22, 1952 mjini Highfield,
Harare. Ni mwanamuziki wa Kizimbabwe ambaye ni miongoni mwa wanamuziki walio maarufu
kwa muda mrefu katika nchi hiyo.

Oliver alianza kutambulika zaidi kimuziki baada ya kuingia katika Kundi la Wagon Wheels
mwaka 1977 akiwa na wenzake kadhaa, akiwamo Thomas Mapfumo.

Wimbo wake wa kwanza ulikuwa wa ‘Dzandimomotera’ ulioheshimika sana, na hapo ndipo
Tuku alipotoka na albamu yake ya kwanza iliyomletea mafanikio makubwa zaidi.

Aidha, Mtukudzi pia ni mmoja wa wanakundi la Mahube, kundi la muziki la nchi za Afrika Kusini.
Ni baba wa watoto watano na mpaka sasa ana wajukuu wawili. Watoto wawili kati ya hao, ni
wanamuziki. Oliver ana dada zake wanne. Kaka yake amekwishafariki.

Tuku hufurahia kuogelea katika bwawa lake (swimming pool) ambalo lina umbo la gitaa.
Ametoa zaidi ya albamu 40 na amepata kushinda tuzo nyingi mno hata nyingine hawezi
kuzikumbuka.

Mwanamuziki huyo wa kimataifa kutoka nchini Zimbabwe, amekwishatunukiwa tuzo ya tatu
iliyobeba heshima ya udaktari kutokana na kuwa mshauri na balozi mzuri wa muziki.

Mwaka 2003 alitunukiwa tuzo kubwa ya heshima na Chuo Kikuu cha Zimbabwe kwa kutambua
miongo kadhaa ya mchango wake na kujitolea katika kujenga muziki na msukumo kwa wasanii
wa kizazi kipya nchini Zimbabwe, huku akionesha ushawishi kwenye kazi za wasanii hao.

Mwaka 2009, Chuo Kikuu cha Wanawake cha Afrika kilimpatia tuzo ya shahada ya sanaa na
kumwelezea mwanamuziki huyo kama mbunifu wa hali ya juu kuwahi kutokea nchini Zimbabwe
katika kipindi cha miongo mitatu iliyopita.

Wengi wanamfahamu Mtukudzi kutokana na umahiri wake mkubwa katika medani ya muziki,
utambulisho wake mkubwa ukiwa ni sauti yake nzito na ya kipekee.

Licha ya Oliver kuwa mwanamuziki, pia ni mfanyabiashara, mwanaharakati wa haki za
binadamu na balozi wa UNICEF Kusini mwa Bara la Afrika.

Mara nyingi Tuku huimba nyimbo katika lugha tatu tofauti za Kishona, Kindebele na Kiingereza.
Huchanganya ala za muziki wa kiasili kwenye nyimbo zake, jambo lililompa umaarufu mkubwa
dunia nzima.

Tofauti na wenzake katika Kundi la Wagon Wheels waliokuwa wakimwimba vibaya Rais wa
zamani wa nchi hiyo, Robert Mugabe, Mutukudzi alikuwa akimsifia sana na kusababisha
anufaike kwa misaada mbalimbali kutoka serikalini.

Mwaka 2010, mwanae kipenzi, Sam Mutukudzi, ambaye naye alikuwa mwanamuziki, alifariki
dunia kutokana na ajali mbaya ya gari.

Mutukudzi amekuwa akidaiwa mara kwa mara kwamba ni mwathirika wa ugonjwa wa Ukimwi,
ingawa mwenyewe amekuwa akikanusha vikali madai hayo.

Kati ya wasanii wenzake waliokuwa wakiunda kundi la Wagon Wheels, ni yeye pekee aliyebaki
hai hadi leo. Wenzake wote wamekufa kwa Ukimwi.

Hivi karibuni, mashabiki wake nchini humo walipatwa na mshangao mkubwa baada ya kitabu
kiitwacho ‘Tuku Backstage’ kuvuja kikiwa na kashfa nyingi za ngono zinazomhusu gwiji huyo,
mwandishi akiwa ni Shepherd Mutamba.

Baadhi ya albamu za mwanamuziki huyo ni ‘Ndipeiwo Zano’ ya mwaka 1978, ikarudiwa tena
mwaka 2000, ‘Chokwadi Chichabuda’ na ‘Muroi Ndiani?’ za mwaka 1979, ‘Shanje’ na ‘Pfimbi’
za mwaka 1981, ‘Nhava’ ya mwaka 2005, ‘Wonai’ ya 2006, ‘Tsimba Itsoka’ na nyingine nyingi.





Labels:

Sunday, February 25, 2018

Majina ya Usaili Kampuni ya Reli Tanzania


 MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI KAMPUNI YA RELI TANZANIA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
KAMPUNI YA RELI TANZANIA
 
 
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Reli Tanzania anatarajia kuendesha usaili kwa waombaji walioorodheshwa katika tangazo hili na hatimaye kuwapangia kazi waombaji watakaofaulu usaili.
 
Kuona majina ya walioitwa kwenye usaili CLICK HERE

Labels:

Saturday, February 24, 2018

Nay Wa Mitego-Mikono Juu

Pakua hapa Video ya wimbo mpya wa Nay Wa Mitego





Nay Wa Mitego-Mikono Juu (Video)

Labels:

Friday, February 23, 2018

Nay Wa Mitego-Mikono Juu

Pakua hapa Audio ya wimbo mpya wa Nay Wa Mitego


Nay Wa Mitego-Mikono Juu (Audio)

Labels:

Thursday, February 22, 2018

Tanesco Job Vacancy

TANZANIA ELECTRIC SUPPLY COMPANY (TANESCO)



Deadline for submission of applications is 05th March, 2018

For more info about TANESCO job Vacancy CLICK HERE


POSITION : ACCOUNTS ASSISTANT (1 7 POSTS)
REPORTS TO : ACCOUNTANT
WORKSTATIONS : COAST (1) DODOMA, (6) KILIMANJARO (3) TEMEKE (2) MTWARA (1) ILALA (2) & KINONDONI NORTH (2)

POSITION OBJECTIVE
Assisting Accountant in all financial activities, including originating cheque and cash payments, banking issues, budgeting control and monitoring, revenue collection, cash withdraws, final account preparations and report writing.

DUTIES AND RESPONSIBILITIES
a) To assist in preparation, implementation and control of approved budget to ensure there is compliance to company financial regulations and accounting instructions;
b) To prepare, process and maintain all records of collections and payments as per financial regulation and accounting instruction to ensure availability and accessibility of information;
c) To prepare cheques payment vouchers and petty cash payment vouchers, to write cheques and make all approved payments in accordance to the company’s accounting instructions;
d) To prepare weekly imprest statement band petty cash statement and submit for reimbursement for records keeping purpose and ease of making management decisions;
e) To prepare CRN, DRN, JVS and any other adjustments to ensure that all errors committed are removed;
f) To attending customers in a good manner and acceptable language to ensure that customers are satisfied;
g) To issue works order numbers generated from the system and maintain the register for records keeping as per accounting instructions;
h) To assist in carrying out bank reconciliation every month reconciliation of general ledger for financial account preparation so as to ensure all accounts are balancing;
i) To update all financial data in the appropriate systems to ensure proper management and control of financial information for decision making.

KEY KNOWLEDGE, EXPERIENCE AND SKILLS REQUIRED FOR THE JOB
Ordinary Diploma or its equivalent in Accountancy, Finance from a recognized learning institution.
One year working experience
Certificate of Secondary Education (Form IV/VI).




POSITION: ASSISTANT ACCOUNTANT TRAINEE (4 POSTS)
REPORT TO : REGIONAL ACCOUNTANT/REGIONAL FINANCIAL ACCOUNTANT
WORK STATIONS : KAGERA (1), ILALA (2) & KINONDONI SOUTH (1).

POSITION OBJECTIVE
Responsible for budgeting and accounting functions in the Zones and Regions.

DUTIES AND RESPONSIBILITIES
a) To supervise billing, data entry, finance, supplies and meter reading sections to avoid incorrect billing and unnecessary adjustments of the bills.
b) To ensure safe custody of cash and daily banking activities in the Districts/Regions are done properly.
c) To be responsible for the correct operation and allocation of works orders and keep its records.
d) To be responsible for timely preparation of monthly quarterly and annual accounts for statutory audit.
e) To prepare and submit all returns weekly, monthly, quarterly and annual from your department to comply with company’s procedures;
f) To certify local purchasing orders, payment vouchers and be the second cheque signatory adhering to
the authorization limits stipulated in the company’s financial regulations;
g) To be responsible for closure of works orders and prompt submission of certificates to Head office.
h) To process payments in accordance with the terms of payments and availability of funds.
i) To ensure that daily collection received from the cashier is banked on the next day, and keep in safe
custody all documents related to banking.
j) To ensure that Value Added Tax (VAT) withholding tax on goods and services rendered including city levy are properly deducted and remitted to the government and respective council on time.
k) To assist in preparing the regional budget and maintain effective Budget control to ensure there are no over expenditure.

REQUIRED QUALIFICATIONS:
Degree in Accountancy, Commerce, Finance or equivalent from recognized higher learning Institutions
CPA (T) is an added advantage.
Certificate of Secondary Education (Form IV/VI).




IMPORTANT NOTICE TO ALL APPLICANTS:
First appearance: 20th February, 2018.
Deadline for submission of applications is 05th March, 2018.

Applicants must include reliable phone numbers for effective communication.
All Applicants who will not be invited for an interview should consider themselves unsuccessful.
Please note that phone calls or any kind of soliciting for these positions by applicants or relatives will
automatically lead to disqualification.

NEVER PAY TO HAVE YOUR APPLICATION CONSIDERED. ANY CALL REQUESTING PAYMENT FOR
ANY REASON IS A SCAM. IF YOU ARE REQUESTED TO MAKE PAYMENT FOR ANY REASON
PLEASE CONTACT OUR COMMUNICATION OFFICE THROUGH 022-2451130/38,
INFO@TANESCO.CO.TZ OR COMMUNICATIONS.MANAGER@TANESCO.CO.TZ.


Age limit: 30 years for technical jobs (Artisan) and 35 for others.
Applications should be sent to address of a respective reporting office where advertised position(s) exist(s) as indicated here under:


WORK STATION(S) ADDRESS TO SEND APPLICATION

HEAD OFFICE.
SENIOR MANAGER – HUMAN RESOURCES,
UMEME PARK, UBUNGO,
P. O. BOX 9024,
DAR ES SALAAM.

TEMEKE, ILALA, KINONDONI NORTH, KINONDONI SOUTH, COAST REGIONS AND DAR & COAST ZONE.
SENIOR ZONAL MANAGER,
TANESCO – DAR & COAST ZONE,
P. O. BOX 2233,
DAR ES SALAAM.

NJOMBE, MBEYA REGIONS AND SOUTH WEST ZONE OFFICE.
SENIOR ZONAL MANAGER,
SOUTH WESTERN HIGHLAND ZONE,
P.O Box. 779,
MBEYA.

MOROGORO, DODOMA AND SINGIDA REGIONS.
SENIOR ZONAL MANAGER,
TANESCO – CENTRAL ZONE,
P. O. Box 49,
DODOMA.

MTWARA AND LINDI REGIONS. SENIOR ZONAL MANAGER,
TANESCO – SOUTH ZONE,
P. O. BOX 03,
MTWARA.


TANGA, KILIMANJARO, ARUSHA, MANYARA REGIONS AND NORTH ZONE OFFICE.
SENIOR ZONAL MANAGER,
TANESCO – NORTH ZONE ,
P. O. BOX 5048,
TANGA.

ARTISAN – LINESMAN/WOMAN FOR MWANZA, KAGERA, MARA REGIONS AND
LAKE ZONE OFFICE.
SENIOR ZONAL MANAGER,
TANESCO – LAKE ZONE,
P. O. BOX 812,
MWANZA.


KIGOMA, KATAVI REGIONS AND WEST ZONEOFFICE.
SENIOR ZONAL MANAGER,
WEST ZONE
TANESCO LTD,
P. O. BOX 8,
TABORA.

KIHANSI HYDRO POWER PLANT. PLANT MANAGER,
KIHANSI HYDRO POWER PLANT,
P. O BOX 77,
MLIMBA – IFAKARA, MOROGORO.

NYAKATO POWER STATION. PLANT MANAGER, NYAKATO 60MW
POWER PLANT,
P. O BOX 2024,
MWANZA.


Labels:

Monday, February 19, 2018

PWC JOB VACANCY


PWC

Graduate Recruitment 2018

Department: Firm-wide
Job type: Permanent
Closing date: 31-Mar-18
Location: Dar es Salaam
Reference Number: 128-TAN00040


The Company
PwC in Tanzania helps organisations and individuals create the value they are looking for. We are a network of firms in 157 countries with more than 223,000 people who are committed to delivering quality in assurance, tax and advisory services.

Your career is just that; yours! You choose it. You live it. You make it happen. To get the best from it, you need the best opportunities. That's why opportunities are at the heart of PwC Careers.

PwC Tanzania is recruiting fresh university graduates from different disciplines. You must have graduated in 2017 or in your final year graduating in 2018.

Roles & Responsibilities
An entry level role in Assurance and Tax Line of Service for less complex roles and responsibilities in client assignments and practice management roles e.g. research and proposals
Completeness of information and documentation
Perform tasks related to the specific assignments by demonstrating a level of skepticism and accuracy
Client liaison – To be the client liaison with the lower level management at the clients as the initial and on-the-ground contact to enable one get and extract the information required from the client
Support team members on client assignment by demonstrating an understanding of team roles on assignments

Requirements
Bachelor's degree
O level results
A level results
To be an all rounded person with other life interests
To demonstrate innovation and creativity
Good communication and interpersonal skills.
Qualified accountant is an added advantage

Job Knowledge:
Commercial awareness of business environment to be able to appreciate and create linkages to client assignments/developments
Knowledge of current affairs

Job Related Skills:
Time management skills
Self- management skills
Flexibility and adaptability
Good communication and networking skills
Analytical skills

Additional Information

If you have what it takes and want to discover and explore the opportunity of a lifetime APPLY ONLINE between 06 February 2018 and 31 March 2018

Labels:

NAFASI ZA AJIRA ZANZIBAR UNIVERSITY

Jobs opportunity at Zanzibar University


Applications are invited from suitably qualified persons to fill the following vacant posts at Zanzibar University.

I. Administrator/Personal Secretary

Qualifications
a) A candidate must have a Degree in Public Administration;
b) Know ledge of computer skills (MS Word, spread sheet and data Management);
c) Good command of written and spoken English language;
d) Know ledge of secretarial services w ill be an added advantage.



II. Accountant

Qualifications

a) Holder of at least upper second degree in accounting;
b) Experience in pay roll preparation;
c) CPA will be an added advantage.


III. Minutes Writter

Qualifications

a) An applicant must possess at least a degree in English Language or social sciences;
b) Must have a good command of English;
c) An experience in University system w ill be an added advantage.


IV. Human Resource Officer

Qualifications

a) An applicant must have a Master Degree in Human Resources or Public
Administration of Common Law ;
b) Must have an experience of at least three years in the same post in a reputable organization;
c) Experience in labor law s of Zanzibar w ill be an added advantage
Salaries and Other Benefits

Successful applicants will be provided with:
1. An employment offer to start working from March 2018;
2. A permanent contract once he/she has served three years with good performance;
3. Good salary, house allowance (10%) and reasonable transport allowance;
4. Health insurance that w ill start operating very soon.


Mode of Application

An applicant is required to submit typed application letter with detailed Curriculum Vitae and copies of relevant academic certificates. He/She should also indicate his current postal address, telephone number and e-mail.

1. Applications should be addressed to: 

Vice Chancellor
Zanzibar University
P.O. Box 2440 Zanzibar, or

2. info@zanvarsity.ac.tz or

3. One can submit his/her application letter and other documents directly to the office of the Vice Chancellor at Tunguu, during office hours.

Deadline for receiving application is 28th February, 2018. Only the shortlisted applicants will be notified.

Labels: